MKUU WA SHULE

  • Category: news
  • Published: Tuesday, 08 June 2021 16:22
  • Written by webber franklin
  • Hits: 1182

Mkuu wa Shule Lugoba Sekondari anawapongeza wanafunzi wote wa kidato cha tano waliochaguliwa kujiunga na Shule hii kwa masomo ya mwaka 2021/2022.

Shule itafunguliwa tarehe 04/07/2021,Wanafunzi wote wanatakiwa kufika shuleni mapema sana

Pia wanafunzi wote waje na mahitaji yote muhimu kama walivyoagizwa ili kuepuka usumbufu usio wa lazima

Nawatakia maandalizi mema 

MKUU WA SHULE 

Abdallah A. Sakasa



Useful Links

Contact us

+255 (0) 754 898 202
+255 (0) 787 378 081
    This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.
   Chalinze, Pwani